No

Wanawaza lini watanishusha (oooh) Huku baba ndio kwanza kumekucha (oooh) Zee Bado nasimamia ukucha Wenzako walikuja Gang Gang Na walikufa (tutututu) Walitoka mkuku Mana waliambulia patupu Na pisi zao nazipelekea mtutu Na minyesho kiduchu Maana siku hizi mambo ipo huku Wanalia sauti nyingi za kasuku (mmh) Marapper wa siku hizi hawana haya Kwa jinsi wanavyochana […]

Read More

Wamelowa

Hiyo miinamo huko nyuma yaliyomo yamo eeeh Binti wa makamo come closer na give me some more Kama tunda lilimshinda Adamu akashindwa kuvumilia Sa kwanini tuitane binamu na nyongo itatumbukia Ulimi ukipitiliza kunanimaliza mwenzako bado najiuliza Hivi ni kweli ama tunaigiza Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa Mi ndo fundi wa raha zake natwanga […]

Read More